CHUMBA  KIMOJA  KINAPANGISHWA.  KIPO KATIKA  ENEO LA  CHANGANYIKENI DAR ES SALAAM,  KARIBU  NA  CHUO KIKUU  CHA  DAR  ES  SALAAM..KIPO  KATIKA  ENEO  ZURI  SANA. NDANI  YA  GETI  NA  USALAMA  NI  WA  UHAKIKA . KODI  NI SHILINGI  ELFU  AROBAINI  TU ( TSHS. 40,000/=) KWA MWEZI NA UNALIPA KODI KUANZIA YA  MIEZI  SITA. HAUPITII  KWA  DALALI.

KWA  MAELEZO  ZAIDI  WASILIANA  NAMI  KWA  SIMU : 0657743183

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Bonde la Msimbazi linalofikia hadi Jangwani linaanzia mbali sana,,,vipi ki Jiografia eneo la nyumba yenye hicho chumba halipo katika mzingo huo hapo?

    ReplyDelete
  2. Changanyikeni kubwa na ina mitaa yake badala ya kusema kama ni Kisiwani, kwa Brigedia, kanisani au kwingineko unasema karibu na chuo kikuu, we vipi? weka tangazo vizuri, kina umeme hakina etc.

    ReplyDelete
  3. Huyu Mchungaji anaonekana ni ajenti. Sababu ya waheshimiwa wa Mjengoni kujihalalishia fungu kubwa la fedha kwa kisingizio cha ugumu wa maisha Dodoma haina mashiko. Ugumu huo wa maisha ni kwao tu? Je, mwananchi wa kawaida anayeishi Dodoma na kwa watumishi wanaokuwa kikazi mkoani humo wanatazamawaje katika kukabili hali hiyo? Tusipotoshe maandiko kwani hata huyo Mungu wetu hafurahii hali hii ya watu kuishi katika tabaka la wengine kufaidi pepo duniani na wengine wakitaabika katika nchi hiyohiyo. Kama ni kufuata maandiko; je, mfano wa tajiri na Lazaro?

    ReplyDelete
  4. chumba kina kitanda? je kitanda hakipigi kelele wakati wa kuvunja sinagogi? maana wengine tuna vishindo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...