aslam-alaikum
kaka michuzi sisi wazanzibari tunaoishi canada tunaomba uturushie kwenye mtandao wako wa michuzi salaam za rambirambi kwa wazee wetu waliopoteza maisha yao katika january 12 ,1964 katika mapinduzi ya zanzibar na leo imefikia miaka 48 tokea kuondoka kwao tunamuomba Allah awalaze pema peponi ameen hakika sote tupo pamoja nao na hatutowasahau milele ahsante.
mdau canada


Nilifikiri Zanzibar wa Canada ni katika Makomredi. Kumbe mnayatambua mapinduzi!!
ReplyDeleteMimi si mtaalamu wa historia. Lakini nilisoma kuwa zanzibar ilipata uhuru baada ya uchaguzi huru tarehe 12 desemba 1963. Sasa mbona tena walifanya mapinduzi januari 1964? naomba nielimishwe.
ReplyDeleteInna Lillah wa Inayhi Rajiuuunnn!
ReplyDeletendugu unamaanisha nini rambirambi zako,waliouliwa katika machafuzi ya january 1964.
ReplyDeleteImechukuwa miaka 48 kuichafuwa nchi jee kuijenga itachukuwa miaka mingapi ?
mdau wa pili kinachokutatiza ni nini hasa hapo? Hujui maana ya mapinduzi au ni vipi?
ReplyDeleteKwani nchi ikishapata uhuru huwa haiwezekani kutokea mapinduzi baadae katika nchi hiyo hiyo?
Kama unataka kweli jawabu basi hili ndio jibu. Zanzibar kama nchi tele za afrika na kwengineko kulitokea mapinduzi januari 12 1964 kupindua serikali iliyokuwa madarakani wakati huo. Serikali iliyokuwepo madarakani kabla ya hapo ni hiyo ambayo iliipatia zanzibar uhuru.
Kwa ufupi Zanzibar ilipata uhuru 1963 na kulifanyika mapinduzi mwaka 1964.
Kwa taarifa yako tu kuna tafauti baina ya mapinduzi na uhuru na ndio maana Tanzania bara husherehekea uhuru wakati zanzibar husherehekea mapinduzi. Zanzibar inasherehekea mapinduzi kwa sababu walipindua serikali iliyoipatia uhuru zanzibar.
waZanzibari tunaoishi huku Scandinavian country tulifanya sherehe mwezi uliopita za Zanzibar independence 12 Dec 1963.
ReplyDeleteGod Bless Zanzibar and his Peoples
mbona mwanamapinduzi mwenyewe hatajwi?
ReplyDeleteMwanamapinduzi ni John Gideon Okello
Deletehttp://www.youtube.com/watch?v=IE24qenucRY
ReplyDeleteangalia hii link utafahamu alichomaanisha
sema ni wewe tu uliyeandika kutoka Canada ndie unayoyatakia Mapinduzi ya Zanzibar kheri....Mimi sitobadilika kuwa mpinzani wa serikali ya Mapinduzi hadi viongozi wetu watakapo punguza ulafi wa mali ya umma.Simchuki mtu kwani tumekatazwa kuchukiana ila nachukia mwenendo na tabia ya wapenda uongozi na ukubwa bila ya kuutumia ipasavyo ktk jamii. Wazanzibar wenzangu hili tuliangalie kwa macho tuliyojaaliwa na Allah.Tatizo si Muungano tatizo ni sura mbili sisi tunazo Wazanzibar kwa manufaa ya matumbo yetu au watu fulani..Watabaruk.
ReplyDeleteMtake msitake MAPINDUZI DAIMA!!!
ReplyDeleteAliyepindua:
Ni John Godeon Okello akishirikiana na WASWAHILI wenzake wa UNGUJA, yaani KARUME NA WENZAKE!
Aliyepinduliwa:
Ni WAARABU wote wa UNGUJA wakiwa na majambia yao mikononi huku wakisimamiwa na SULTANI WA OMANI!
Mtake msitake Mwarabu alipinduliwa na kuumbuliwa Unguja baada ya miongo kadhaa ya Utawala wake dhalimu na wakiunyanyasaji!
ReplyDeleteIlifikia watu weusi wakawa wanabaguliwa kama nchi sio yao!
Hongera Mapinduzi yaliyomjengea Mswahili heshima kufikia kuweza kumuoa mwanamke wa Kiarabu bila taabu chini ya Utawala wa Mwanamapinduzi (Mswahili) ABEID AMANI KARUME!
Nyundo inapotua hakuna kinachobaki matunda ya CCM ni kuanzia Mapinduzi Unguja!
ReplyDeleteWatu weusi wanabaguliwa hata sasa angalia maendeleo gani yamepatika miaka 48 ya mapinduzi nchi imerudi nyuma mika 58,hao hao mliowapinduwa na kuwabaguwa na bado mnashikilia kuwaowa kwanza mliwakamata kwa nguvu na kutaka kuzaa nao watoto wenye nywele za singa na rangi nyeupe.baniani mbaya kiatu chake dawa.wacheni kasumba zenu hizo za kijinga.
ReplyDeleteAnonymlous wa Sat Jan 14, 08:50:00 PM 2012
ReplyDeleteWatu weusi wanabaguliwa...kuwaowa Wanawake Weupe,
Asalalee wewe Mdau usisikie Mwanamke Mweupe licha ya nywele laini,ngozi laini na rangi, suala ni manjonjo na joto tu wananoga sana!