Basi la kampuni ya Abood ya mjini Morogoro ambalo likiwa limepinduka maeneo ya Mbezi wakati likiwa safarini kutokea Mkoani Morogoro kuja Dar es salaam mapema leo asubuhi.Kutokana na Mashuhuda wa ajali hiyo,wanasema chanzo cha ajali hii ni kutokana na dereve wa basi hili kutaka ku overtake gari lililokuwa mbele yake na kushindwa kufanya hivyo hali iliyomfanya dereva wa basi hili kushindwa maarifa na hatimae basi kupinduka.hakuna aliepoteza maisha kwenye ajali hii.
basi la abood linavyoonekana baada ya kupinduka mapema leo asubuhi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Uzembe wa Dereva nyang'anya leseni tia ndani na faini juu!

    ReplyDelete
  2. Bwana Mungu asifiwe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...