MAREHEMU INSPECTOR NESTORY NDABAGOYE
1949 - 2005

Leo tarehe 19/02/2012 umetimiza miaka 7 tangu Mungu alipokuita baba yetu mpendwa katika makao ya milele.  Japo haupo pamoka nasi kimwili, lakini kiroho upo pamoja nasi. Tunakumbuka Upendo, Ukarimu na Ucheshi wako kwa watu wote waliokuwa wanakuzunguka pamoja na misaada mingi uliyokuwa ukiitoa kwa jamii hasa vijana na wazee.  Tunamshukuru Mungu kwa ujasiri aliotupa ile kuweza kukubali kwamba hatutakuona tena hapa duniani.

Ukumbukwa sana na mke wako VICTORIA NDABAGOYE, watoto wako NORAH, NOEL, HOSIANA, EGIDIO, VICTOR na ABEL pamoja na wenzi wao, ndugu zako, shemeji zako, wajukuu, marafiki na wanaukoo wote.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Bwana alitoa na bwana alitwaaa jina la Bwana lihimidiwe. R.I.P

    carlos Muhuga

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...