Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania Mh.Amour Zacarias Kupela wakati balozi huyo alipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo asubuhi na kufanya naye mazungumzo yanayohusu uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania Mh.Amour Zacarias Kupela baada ya balozi huyo kumtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo asubuhi na kufanya naye mazungumzo yanayohusu uhusiano kati ya nchi hizo mbili.(picha na Freddy Maro)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...