Home
Unlabelled
ulezi ukiandaliwa kwa ajili ya matumizi ya wikiendi hii na siku zijazo...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mdau ulevi ni Maili Sita sio Kwa Sadala
ReplyDeleteMkuu ulezi haulimwi Kilimanjaro. Hii ni bidhaa toka Kondoa! Huku hutayarishwa tu na kutumika kwa kile kinywaji cha asili ama chakula kwa wamama wazazi.
ReplyDeleteEM
Aliyesema ulezi haulimwi Kilimajaro kakosea 100%. Nenda vijijini ukaone ulezi.
ReplyDeleteNdugu nimekuwa nikifuatilia sana hapa KUNA MBEYA BLOG, IRINGA BLOG nakadhalika kwanini hatina blog ya MOSHI jamani? tunaitamani sana. I know you, good job
ReplyDeleteHii ni kilimanjaro tena maili sita..ila ankal na wewe bana tangu mjomba aende huko KLM naona unatupia habari nyingi za huko hahahha
ReplyDeleteunalimwa sana maeneo ya Kimashuku na pande za chini kwa sadala huko, halafu maeneo ya mail sita na huko kwa sadala huuzwa kwa ajili ya either uji au mbege. tusikariri jamani
ReplyDeletehapo ni kuanzia kibosho road, mailisi sita
ReplyDeleteHakuna ulezi Kilimanjaro usiongope
ReplyDeleteMaili sita hapo
ReplyDelete