Bwana harusi William na mkewake Agnes wakiwa katika pozi la picha baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa la mtakatifu Dominiki lililopo mbezi beach jijini Dar es Salaam.
Bibi harusi Agnes Martin akiwa amebebwa katika ufukwe wa bahari ya hindi jijini Dar es Salaam, baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa la mtakatifu Dominiki Mbezi Beach.
Bibi harusi Agnes Martin akiwa katika pozi baada ya kufunga ndoa na William Anthony.
Maharusi wakiwa katika picha ya pamoja naa ndugu na jamaa baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa la mtakatifu Dominiki lililopo mbezi beach jijini Dar es Salaam.
hongereni sana na furaha hiyo mliyonayo idumu kwenye ndoa yenu. Bi harusi mlinde kijana huyo magumegume ya jiji yanataka haoo waliooa
ReplyDeleteBeautiful!! Harusi nzuri sana, very simple. Hongereni maharusi!!
ReplyDeleteHongereni maharusi.Picha nzuri lakini hawa jamaa wawili wa kulia wameharibu hii picha. Kama vile walilazimishwa kupiga picha.
ReplyDeletethx anon wa Fri Apr 20, 05:14:00 AM 2012, hata mimi naona hao jamaa wawili kulia sijui ndg sijui wapita njia wapo kama vile hawahusiki na harusi..
ReplyDeleteits simple wedding hongereni sana cha msingi sasa ni kuishi vizuri kwani harusi mzuri ni ile inayokaa miaka mingi kama za wazazi wetu
ReplyDelete