Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Maalim Seif Hamadi ambaye pia ni Katibu mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) ,akisalimiana na hasimu wake ambaye ni Mbunge wa jimbo la wa Wawi,Mh. Hamad Rashid walipokutana Ikulu jijini Dar es Salaam hivi karibuni, wakati wa hafla ya kuwaapisha wajumbe wa kamati ya kuratibu maoni ya Katiba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. JAMANI MPENDANE MAISHA NI MAFUPI SANA. UGOMVI HAUNA TIJA WAHESHIMIWA!

    ReplyDelete
  2. Hakuna urafiki hapo!

    ReplyDelete
  3. Wanasiasa kweli noma....watu walikatana mapnga manzese kumbe jamaa washkaji. Siku nyingine tuwaweke wenyewe mbele ya mapambano, tuone kama wataendelea kutuchezea akili

    ReplyDelete
  4. kinacho endelea hapa ni unafiki tu

    ReplyDelete
  5. Che GuevaraApril 20, 2012

    Huyu Bwana wa WAWI ni mtu wa Tamaa mno hata bungeni alipokuwa Mkuu wa kambi ya upinzani na ilipokuja kuangukia CHADEMA bado alitaka yeye aendelee kuwa na nafasi hiyo na alikihujumu sana CHADEMA!

    ReplyDelete
  6. MACHO YANACHEKA huku MOYO UNALIA !

    ReplyDelete
  7. Hakuna nini wala nini hapa, kuna jipya?

    Hizi ndio zile za KILLING SOFTLY!

    ReplyDelete
  8. Siasa zetu mara zote zinakwama kwa watu kuwa na VINYONGO NA MAFUNDO YA MOYO !

    WATU KTK JAMII ZILIZOPIGA HATUA WANAITUMIA SIASA KWA KUWEKANA KTK UONGOZI LAKINI BAADA YA KUINGIA CHAMA PEMBENI,MASLAHI YA TAIFA KWANZA!

    ReplyDelete
  9. Ankal, mi sioni kama wanasalimiana bila unafiki, kwani huoni jinsi walivyonuniana? Mnasalimana hata tabasam usoni hakuna? Maalim nawe Hamad, kuweni waungwana mmalize tofauti zenu. Maendeleo hayaletwi na chuki.

    ReplyDelete
  10. sasa wewe Anonymous hapo mada ni hamad na seif CHADEMA inaingiaje.ujinga unakufanya unashindwa kuelewa hata picha zimekaa vp.

    ReplyDelete
  11. HAKUNA LOLOTE HAPO!!!

    Ni kiasi cha kuwadanganya Wananchi au kutoa lawama kuwa hawana tofauti, wakati picha na sura zinawasuta kuwa 'hawako vizuri' kabisa !

    MWENYEZI MUNGU AMEUMBA HISIA NA MAUMBILE YA MTU KWA KILICHO ROHONI MWAKE HATA AFICHE VIPI KITAJIDHIHIRISHA KTK USO WAKE!

    HIZI NDIO SIASA ZA KIBONGO! NA PIA HII NDIO AINA YA VIONGOZI TULIOKUWA NAO NCHINI !

    KWA MTAJI HUU 'KAVU' KWELI TUTAFIKA?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...