Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kulia) akizungumza na Balozi wa Nigeria hapa nchini, Ishaya Samaila Majanbu, Ofisini kwake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba mjini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kulia) akiagana na Balozi wa Nigeria hapa nchini, Ishaya Samaila Majanbu, baada ya kuwa na mazungumzo, Ofisini kwake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba mjini Dar es Salaam.Picha na Bashir Nkoromo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2012

    Katibu chinga sana maongezi na watu wa pande hiyo, asije akakuingiza mjini. hao ni watalaam wa 411 (Corruption.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 03, 2012

    C.C.M,,,,,C.C.M,,,,C.C.M !!!

    Mpaka Balozi wa Wajanja Nigeria naye ni C.C.M?

    Ama kweli wacha niimbe kidogo,
    -----------------------------------

    C.C.M Pambalama ,C.C.M Pambala Poteleli C.C.M EEE, Poteleli CCM Pambalama! X3

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 03, 2012

    Balozi anawakilisha Nigeria, ina maana lazima azingatie nchi yote ni Tanzania.

    Amevaa nyuzi rangi ya CCM kwa kuwa,

    Lakini kwa mahesabu yake ya Ki Nigeria ya Kiusanii na Kiutaalamu akagundua kuwa CCM itatawala Tanzania Daima !

    Hivyo ndio maana yake!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...