Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh. Evarist Ndikilo (kushoto) akikabidhi kitita cha Shilingi Milioni 9 kwa Mlezi wa timu ya soka ya Pamba ya Jijini Mwanza,Charles Masalakulangwa kwaajili ya maandalizi ya kujiandaa na michuano ya makundi kuwania nafasi kutinga ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu ujao. Pamba iliyopangwa katika kituo cha mkoa wa Kigoma inahitaji kuwa na kiasi cha shilingi milioni 25 ili kuweza kushiriki vyema mashindano hayo.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh. Evarist Ndikilo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau wa soka waliofika ofisini kwake.Picha G Sengo Blog.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 21, 2012

    Not clear, Is that his own money or public funds? If those are public funds, then why spend them on losing team when wananchi wengine have no food or housing or education facilities.

    Priorities za viongozi wetu was Bongo - nizakuchekesha!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...