Wakereketwa wa CCM toka Mbagala wakiingia viwanja vya jangwani
 Wa Temeke
 Wa Ilala
Nafasi vitini zimeshaanza kujaa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2012

    Jamaa kweli mambo safi, wameekewa na viti. Bado magodolo ya kulala.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 09, 2012

    HONGERENI KWA KUPATA NAFASI YA KUHUDHURIA MKUTANO WENU

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 09, 2012

    Uzuri wa upinzani ni kwamba unafanya chama kilichopo madarakani kuwajibika zaidi.

    Mkutano huu umewaleta mawaziri ili waeleze kinachofanyika kuboresha maisha ya mtanzania. Ingekuwa sio kelele za CHADEMA wangetuambia haya na kwa uwazi huu?.

    Na uzuri wa hili ni kwamba sasa wananchi(na vyama vya upinzani) wanaweza kufuatilia haya na kuyadai zaidi.

    Idumu Tanzania ya vyama vingi maana itauletea maendeleo

    David K

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 09, 2012

    Nape Nnauye, wewe ndie publicity secretary wa CCM na ulitakiwa uandae mambo kama haya toka kale. Tafadhali huu moto uzidi kuwashwa maeneo yote ya nchi ili Watanzania waelewe CCM inafanya nini. Siku zote ilikuwa hata maji tunakunywa kwa shida kwa vishindo vya wapinzani ambavyo kimsingi havina mashika, lakini kwa vile wao ndio waliokuwa wakisema basi ndio waliosikika.
    Hongera Nape kwa kuzinduka, tafadhali endelea na hii program kwa kufuta nyayo zote za wapinzani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...