Naitwa Happy Joseph miaka 30, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli,asiwe mlevi wa kilevi chochote,sichagui dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi hapa Austin Texas USA,si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.

Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;

happy-joseph@live.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2012

    mdau happy ungetupia na picha zako ili wadau tuthaminishe bana, mambo ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia nani anataka..!!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2012

    Niache pombe kwa ajili yako? uu mtamu kuliko pombe?

    kalaghabao!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 15, 2012

    unapima ukimwi wa nini kwani unahisi umeukwaa nini? mtu anapima malalia akihisi ana malalia sasa wewe unahisi una ukimwi na unatafuta anaye hisi anaukimwi goodlucky in searching. I tell you expecting 0 output. hupati mtu

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 15, 2012

    mbona hujibu emails sasa? Tushakutumia maombi..,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...