Mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa tuzo za mwanamichezo bora wa mwaka 2011,Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,Mh. Ali Hassan Mwinyi (wa pili kutoka kushoto) akiwa katika hafla hiyo usiku huu inayofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.Wengine pichani Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo za TASWA,Masoud Saanane, Mwenyekiti wa TASWA,Juma Pinto na Mwenyekiti wa Kampuni ya bia ya Serengeti,Mark Bomani.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya bia ya Serengeti Teddy Mapunda akijadili jambo na aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti,Bw. Richard Wells katika hafla hiyo usiku huu inayoendelea hivi sasa katika ukumbi wa Diamond Jubilee,Jijini Dar es Salaam.

Makamu Mwenyekiti wa Simba na Geofrey Nyange (katikati) akiwa katizo hafla hiyo pamoja na Mdau wa simu nyingi wa Michezo nchini,Jamal Rwambo (kulia) pamoja na Maulid Kitenge Makamu Mwenyekiti wa TASWA.

Wadau mbalimbali na waandishi wa habari.
Wageni waalikwa kutoka maeneo mbalimbali wakifuatilia ratiba ya tuzo hizo.
Mkurugenzi wa Radio Times 100.5 Fm,Rehuru Nyaulawa akimkabidhi tuzo yake mshindi wa tuzo ya mchezo wa Wavu wanawake,Evodia Kazinja.
Mwenyekiti wa TASWA,Juma Pinto akimkabidhi tuzo yake mchezaji bora wa mchezo wa Netiboli Lilian Sylidion kutoka Shule ya Filbert Bayi.
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars),Kim Paulsen akikabidhi tuzo ya mwanamichezo bora wa Olimpiki Maalum,Heri Suleiman.Picha na Full Shangwe Blog.
Mkurugenzi wa Radio Times 100.5 Fm,Rehuru Nyaulawa akimkabidhi tuzo yake mshindi wa tuzo ya mchezo wa Wavu wanawake,Evodia Kazinja.
Mwenyekiti wa TASWA,Juma Pinto akimkabidhi tuzo yake mchezaji bora wa mchezo wa Netiboli Lilian Sylidion kutoka Shule ya Filbert Bayi.
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars),Kim Paulsen akikabidhi tuzo ya mwanamichezo bora wa Olimpiki Maalum,Heri Suleiman.Picha na Full Shangwe Blog.








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...