Msafiri Zawose mtoto wa marehemu Hukwe Zawose akiwa kwenye darasa lake la kufundisha ngoma za asili kutoka Tanzania picha ni Msafiri Zawose akiwa Bloombars Dance Studio iliyopo, Washington, DC, NW, yeye hua anasafiri Nchi mbalimbali kufundisha uchezaji wa ngoma za asili kutoka Tanzania hasa kutoka kwenye kabila lake la Wagogo.
Masafiri Zawaose akiwa darasani akifundisha huku akisaidiwa na mke wake Hanah Zawose (kulia) kati ni mmoja ya wanafunzi wake, Winter Allen.
Juu na chini ni Msafiri Zawuse akiendelea na darasa lake la kufundisha ngoma za asili jijini Washington, DC, NW
Msafiri Zawose akiwa na mkewe, Hanah Zawose wakipata picha ya pamoja
Msafiri Zawose (wapili toka kushoto) akiwa na wanafunzi wake kutoka kushoto ni John Chumbers, yeye, Winter Allen na Mke wake Hanah.
Msafiri anapatikana kwa shughuli za aina zote kama vile Harusi na shughuli maalum yeye ni mtaalam wa ngoma za asili atakuwepo Marekani Mpaka Aug 8, 2012 kampuni yake inaitwa ART PROMOTERS FOUNDATION na unaweza mtembelea msafirizawose. wordpress.com/art-promoters/ na pia unaweza wasiliana nae kupitia-simu: au
barua pepe: mzawose@gmail.com
Store: esty.com/shop/mzawose
Huyu ana bahati amepata blonde, sio bure.
ReplyDeletesio bure labda aliaga kwao
ReplyDeletesio blonde, ni brunette or red hair.
ReplyDeleteNa wewe nenda kwenu kaage uone kama utabarikiwa kubwa jinga!!
ReplyDeleteWe mtoa maoni wa kwanza unatuaibisha kweli sisi waafrika na ulimbukeni wako: eti "ana bahati amepata blonde." Angekuwa mdengereko kwani shida iko wapi? kwani blonde ndiyo bora zaidi? Mshamba bwana utamjua tu. We ungesema, ana bahati kapata mke mzuri ingetosha tu. Sasa ukianza kugusia rangi yake ndiyo unaharibu. Jipende mwafrika, ngozi ya chocolate imeumbika bwana, hata muumba mwenyewe kaikubali. Elimika kijana na ijue historia yako
ReplyDelete