Kutoka kushoto:Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Meneja wa Miradi wa UNODC Bw Anthony Buckingham, Waziri wa Mambo ya Ndani Mh. Tarawally, Mkuu wa Polisi wa UN Bi. Janice Mcclean, Mwakilishi Mkazi wa UNOPS Bw Omary Mjenga na wa mwisho kulia ni Mkuu wa Jeshi la Majini. Vifaa hivi vimenunuliwa na UNOPS kusaidia kupambana na biashara ya madawa ya kulevya na usafirishaji haramu wa binadamu
Mwakilishi Mkazi wa UNOPS Bw Omary Mjenga akikabidhi magari
Moja ya boti zilizokabidhiwa





Assalam Alaykum, Mdau Omary Mjenga!
ReplyDeleteTuwakilishe tunakutegemea!a
Mwenyezi mungu azidi kukupa mafanikio na busara bwana Mjenga, umekuwa mfano wa kuigwa hasa kwa vijana wenzio. Hii ni hazina ya nchi yetu. Nawaasa vijana wengine pia kuwa na dira na malengo kwa huyu kijana mwenzio. Mzee wako SSJ.
ReplyDeleteTarawally umekaa vibaya, umetanua na umembana Mcclean, fuata protokali za picha,muige Buckingham amekaa vizuri na pozi lake.
ReplyDeleteDr Gangwe Bitozi.
wakilisha mjenga wenye wivu wajibebee.
ReplyDelete