Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi

Mwenge wa Uhuru leo Umeingia Kisiwani Zanzibar ambapo Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Kapteni Honest Mwanossa ameweka mawe ya msingi na kuzindua miradi mbali mbali ya maendeleo katika mkoa wa mjini Magharibi.

Akiweka jiwe la Msingi la kituo kidogo cha Polisi cha Kombeni Mjini Zanzibar, kiongozi huyo amewataka viongozi wa Kitaifa kuepuka ufujaji wa fedha za wananchi na kujiingiza kwenye ufisadi na kuwataka wafanye mambo kwa maslahi ya Taifa.

Awali katika risala yao kwa Kiongozi wa mbio za Mwenge, wananchi wa Makombeni wameliomba Jeshi la Polisi kuangalia uwezekano wa kuharakisha ujenzi wa kituo hicho ili kupunguza kero ya uhalifu katika eneo hilo.

Moja ya ujumbe wa Mwenge wa mwaka huu umehimiza umuhimu wa kila mmoja wetu kuhesabiwa katika Sensa ya kitaifa ili kuiwezesha Serikali kupanga vema maendeleo kwa wananchi wake.

Mwenge huo umewasili kisiwani Zanzibar ukiotokea mkoa wa Lindi ambako ulikuwa ukikimbizwa katika wilaya mbalimbali za mkoa huo.

Ukiwa Kisiwani hapa, Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa atazindua na kuweka mawe ya msingi ya miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya na mikoa yote mitano ya Unguja na Pemba kabla ya kuendelea na mbio zake katika mikoa mingine ya Tanzania Bara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2012

    1.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    2.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    3.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    4.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    5.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    6.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    7.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    8.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    9.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    10.MWENGE HUO MWENGE MBIOMBIO!
    MWENGE TUNAUKIMBIZA MBIOMBIO!
    KUZUNGUKA TANZANIA YOTE MBIOMBIO!
    HADI VISIWANI ZANZIBARI MBIOMBIO!
    WAPINGA MUUNGANO MUKOME MBIOMBIO!

    (Mwimbo mara X 100,000,000.....)

    Kama hamtaki Wapinga Muungano mtakufa na kijiba cha roho mhamie Omani kabla Mwenge haujawafikia kuwachoma na moto wake maeneo yenu!

    MUUNGANO OYEEEEEEEE!!!!!!!!

    NI MIMI MWANA MAPINDUZI ZANZIBARI!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2012

    Mwenge ndio huo kwetu Visiwani,,,Muungano siye twautaka, asiyeutaka naafe zake atangulie!

    Mdau wa Mkunazini Zanzibar

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 15, 2012

    Ahhh wapi sie Muungano kwetu ni faraja,

    Mwaona hapa Zenji sheria kali,

    Bara twavuta, twanywa, twapata mademu kwa raha zetu sasa ukivinjika tukastarehe wapi?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 16, 2012

    Mdau umenikumbusha mbali sana, enzi za Iringo Shule ya Msingi, Musoma..Mie nilimaliza 1988

    Mwenge huo mwenge, mbio mbio
    Mwenye tunaukimbiza, mbio mbio
    Milimani, mabondeni, mbio mbio
    Wenye macho wauone, mbio mbio
    Vipofu wausikie, mbio mbio

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...