Katibu Mkuu wa Chama cha siasa TADEA Juma Ali Khatibu akitoa ufafanuzi wa Maswali mbalimbali yalioulizwa na Waandishi wa Habari huko katika Baraza la wawakilishi la zamani Kikwajuni Zanzibar kuhusiana na kuimarisha Amani na Utulivu Zanzibar na Kulaani matukio ya uvunjifu wa Amani yaliotokezea hivi karibuni huko Zanzibar.
Waziri wa Ustawi wa Jamii Maendeleo ya Wanawake na Watoto,Zainab Omar Mohamed akielezea malengo na maendeleo ya Wizara yake kwa Waandishi wa Vyombo mbalimbali hawapo pichani huko katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Waandishi wa Habari mbalimbali waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri wa Ustawi wa Jamii maendeleo ya Wanawake na Watoto Zainab Omar Mohammed akielezea kuhusiana na Maendeleo na malengo ya Wizara huko katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2012

    Assalama Leko zenu Mabinti wa Kizanzibari!

    Jamani ama kweli Muungano mtamu sana sasa ukivunjika tutatokea wapi na mauwa ndio haya?

    Mie mwanaume Mbara nimewapenda mnenonga pia ningependa niwasiliane na huyo mwenye shungi nyekundu na mawani juu!

    Inshallah!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 16, 2012

    Eti Muungano uvunike,,,khaaa?

    Jamani Majogoo tunachapa dona kwa maharage tupo Bara na 'Mitete' yaani kuku jike ndio hao Visiwani!

    Angalia akina dada walivyopendeza Mashallah ! ama kweli Ndala Kasheba alisema Zanzibar kuna upepo unanukia marashi ya karafuu!

    Sasa wapinga Muungano mbona mna fitina sana tukaoe wapi ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...