Kushoto Aida Issa na Mkamiti Kibayasi  katika Summit maalum ya idhaa hiyo  mwishoni mwa wiki iliyofanyika katika jimbo la Virginia,  Marekani.
 Kutoka kushoto Sunday Shomari , Abdushakur Aboud na Duane Collins wa idhaa ya Kiswahili ya VOA wakipata menu ya nguvu katika Summit hiyo maalum.
Mkuu wa idhaa ya Kiswahili ya VOA Mwamoyo Hamza kushoto na Khadija Riyami  katika Summit maalum ya idhaa hiyo  mwishoni mwa wiki iliyofanyika katika jimbo la Virginia Marekani
 Kushoto Khadija Riyami na Aida Issa.
Kushoto Sunday Shomari na Khadija Riyami.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 25, 2012

    summit ya nguvu ni chakula au?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 25, 2012

    aida miss you girl i did not know that you are at VOA. Mashallah

    mdau New York

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...