Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Canada nchini, Robert Orr ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam leo kuaga.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya kinyago cha faru, Balozi wa Canada nchini, Robert Orr ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar salaam leo kuaga.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Afisa wa Masuala ya Siasa katika ubalozi wa Canada nchini, Sebastien Lanthier (kulia) na balozi wake, Robert Orr (katikati) ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuaga leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa China nchini, Lu Youqing kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa China nchini, Lu Youqing, Ofisini kwake jijini Dar es salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2012

    siku ya mazingira Dunia, Mh MP wambie wachina wapunguze kutuletea maplastiki na Takataka nchini.
    vile vile hamsha uzalishaji wa vitu asilia kama juisi za matunda ,asali ,maziwa n.k.
    Hizi kemikali zinazozidi kumiminika zinatumaliza bila wenyewe kujijua.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...