You only find these in Moshi, Kilimanjaro region,  a typical cultivating African agricultural town. Somebody told me Moshi means Mungu Onyesha Sehemu Hela Ilipo, what a bad joke!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 31, 2012

    Moshi ni Mji safi sana na watu Wasafi Pia, mikoa mingine igeni...

    ReplyDelete
  2. Moshi ni kwa wajanja tu

    ReplyDelete
  3. The link to more photos are not working?

    ReplyDelete
  4. it is working on mine. Mkubwa ni hiyo computer yako tu chai maharage, na hapo ulipo kuirepair hiyo computer ni more expensive than to buy a new one,so please ,tutumie sisi hiyo ya zamani wewe kanunue mpya-huku tutaikarabati na itarudi upyaa .Zebedayo msema kweli.

    ReplyDelete
  5. Zebadayo acha hizo. Kweli haifunguki.

    Kalungi

    ReplyDelete
  6. home sweet home

    ReplyDelete
  7. Che GuevaraAugust 01, 2012

    Moshi ni patamu jamani hasa maisha ya milimani kama vile Kibosho, Machame, Uru, Roombo na Marangu

    ReplyDelete
  8. Zebedayo acha hizo. ni kweli haifunguki.
    Mba"%$#___ff!! Xcsichwiii.

    ReplyDelete
  9. Zebedayo acha kuzingua wadau kwa kujifanya upo bongo wakati wewe ndiye mbeba box mashuhuri hapo Ukerewe....hahahahahaha tumekustukia


    Zebedayo mbeba box nambari waniiiii


    nimimi tu....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...