Kwaniaba ya Chama Cha Mapinduzi, Mwenyekiti na Uongozi wa CCM Tawi la DMV tunawatakia waislam wote duniani Ramadhani njema.
Pia Tunawakaribisha watu wote katika futari ya pamoja
Kama ilivyo desturi tunaungana nao katika mwezi huu wa Ramadhani.
Watanzania wote mnakaribiswa katika futari hiyo  ya pamoja.

SIKU:   IJUMAA: AUGUST 3, 2012
WAKATI: 7.30 P.M.
ADDRESS: 10615 New Hampshire Avenue
                   Silver spring, MD 20903

RAMADHANI KAREEM
UONGOZI WA TAWI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Tusilete udini kwenye vyama vya kisiasa

    ReplyDelete
  2. Mwanyekiti DMV naona unafuturisha kwa kodi kwa kodi za wananchi wanyonge tanzania.
    Mdau DMV.

    ReplyDelete
  3. mbona mnataka kuleta siasa kwenye dini.....?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...