Beach plot , ufukwe wa Ziwa Victoria kaskazini mashariki mwa mji wa Bukoba. Kilometa 4 kutoka Bukoba airport. Plot ina Title deed na ina ukubwa wa Mita za mraba 15408.
email kyatwap@yahoo.com au spika2003@gmail.com au pkyatwa@gmail.com
0658499188 au 0756499188 au kwa namba hizi +26773309420 au +26772870064 au +26774101642.
samahani: madalali hawana nafasi.
kwa matumizi ya ardhi inawezekana kujenga hapo??????????
ReplyDeletetuhakikishiye kama hiyo siyo sehemu ya hifadhi za fuko kama vile ziwa,bahari n.k.
ReplyDeletendiop maana Zanzibar tunataka nchi yetu kwa mammbo kama haya ya kuuziwa nchi yetu kidogo kidogo kuanzia kigamboni sasa victoria baadae malindi baadae nchi yote kama palestina na israil
ReplyDeleteKuna bahari Bukoba??
ReplyDeleteHapo Nshomire utataka Bilioni ngapi?
ReplyDeleteMdau wa 3 wa Zanzibar hapo juu nonymous wa ATue Jul 31, 10:34:00 PM 2012
ReplyDeleteWEWE UNAYOIITA NCHI YAKO 'ZANZIBAR' NI NDOGO MIMI YANGU KUBWA, SASA UNA WASI WASI GANI?
SASA WAKATI TUPO KTK MUUNGANO INA MAANA WEWE UNAYO NAFASI YA KUNUFAIKA NA ARDHI YANGU MFANO HUKO BUKOBA UNAO UWEZO WA KUTUPA KETE YAKO UKANUNUA !
KWA NINI SASA USINUNUE ARDHI BUKOBA?
SASA HAPO ANAYENUFAIKA NA MUUNGANO NI NANI WEWE MZANZIBARI AU MIMI MBARA (MACHOGO)???
Naitwa chogo boy..nyinyi wazenji tulizeni mizuka hebu waulizeni wadogo zenu wanaokwenda south africa hasa wapanda meli tunavyo watuliza kama mpira yani kiuraini..hasa ww hapo juu unaesema mnaitaka znz yenu..utabaki kua mdebwedo tu..mbele ya ngosha mjeshi kamili..aksante sana nyerere kwa kutupa maujanja ss machogoooooo.yani raha tupu..moro wana msemo unaosema...karaga baho.
ReplyDeleteUnauza fukwe wamekaa kimya. Utajenga na ukimaliza tu wanakuja kubomoa. Kurudishana nyuma ni sera za nchi yetu.
ReplyDeleteSisi wazanzibari hatutaki kunufaika na nchi yenu basi tuwachieni nyie mnabeba mizigo ya nini?
ReplyDeleteSijapata kuona mtu mzima analazimishwa kula wakati ana akili timamu,
AMA kweli mnatupenda Ndugu zetu wa Damu lakini tushachoka kubebwa mmetufunza vya kutosha sasa tunaweza kutembea wenyewe mbona mmetushika tu!
Mkuu hilo ni eneo la hifadhi ya ziwa, atakayenunua itakula kwake
ReplyDeleteHii sehemu naijua ni kwa matumizi ya ujenzi wa hotel na water based intertainment activities. Title ni ya domestic commercial activities
ReplyDeletekakushika nani wewe wa zanzibar, nje ya huu muungano huna faida yoyote popote si bara wala magharibi ni sawa na mafia tu. Hivi hiyo unayoiita Zanzibar wote mnadai nchi au wengine wanadai kitu kingine? kwa maana wengine mna wakina mjomba nje ya hapo mnaletewa mishahara bila kufanya kazi unakaa unapiga simu nje na kulalama na wewe unatishia kuondoka kama hawajaleta mshiko mapema. Tunawajua hamtaki kufanya kazi na hela mnataka itakuwaje?
ReplyDeleteTSUNAMI IKIJA HAPO KUNA USALAMA? KUNA UMEME, MAJI AU BARABARA? KAMA UNAUZA MBONA HAMNA BEI AU ND'O WALE WALE AKINA NANIHIII.
ReplyDeleteyou can not sell a beach
ReplyDeleteMdau uliyeuliza kuna Bahari Bukoba? nafikiri ndio nyie mkiona neno Beach mnafikiri Pwani tu Beach ni ipo huoni hapo mchanga na Ziwa pembezoni ndio Beach yenyewe hiyo.
ReplyDeleteBIJAMPOLA hiyo- gusa uipate!!!
ReplyDeleteHuyo anayesema kuhusu Zanzibar, hivi inaingilianaje na mambo ya plot iliyopo Bukoba? Hao ndo wachafuzi wa hali ya hewa ya Muungano!Kwa jina la Yesu na Mtume washindwe! Jamaniee hapa zungumzieni yanayohusu topic, UNUNUZI WA PLOT! Kwa ushauri zaidi, kama una uwezo wa kununua, hakikisha umecross check document zote zaidi ya mara 10 na ardhi. Kila la kheri Watanzania wenye nia
ReplyDelete