Jengo la Bunge katika viwanja vya maonesho ya kimataifa ya Bisahara vya Mwalimu JK Nyerere (Saba Saba)
Watumishi wa Bunge wakifafanua baadhi ya kumbukumbu za zamani za Bunge kwa wageni wanaotembelea banda la Bunge.
Watumishi wa Ofisi ya Bunge wakiwa katika picha ya pamoja katika Banda la Ofisi ya Bunge.
FANYENI MAZOEZI, VITAMBI VIMEZD WABONGO
ReplyDeleteNa mimi niliongezea kusisitizo hilo Jamani wakati hakuna vikao vya Bunge fanyeni mazoezi. Spika tunaomba wawekee Gym pale Dodoma, kinyume cha hivyo tutapoteza nguvukazi mapema.
ReplyDeleteBrown Mwangoka na Silver Chindandi vitambi hivyo jamani mnatutia aibu... mazoezi please.
ReplyDeleteAfadhali hata huyo Silver kaweza kuchuchumaa, huyu Brown balaa. Mazoezi muhimu humuona Mark yupo smart!!!!
ReplyDeleteJamani ninyi mnaopigia kelele mazoezi hebu wekeni picha zenu tuwaone....
ReplyDeleteJimroja niwe nakuvona aho? Rumburio ekikuaterejia aho hantu weho. ngezija, ninevecha kukuvona.
ReplyDeletekaribu rumburia.
ReplyDelete