Watanzana wameombwa kujitokeza kwa wingi katika kuwashingilia wanamichezo watanzania wanaoshiriki katika michezo ya Olympic huko London, wito huo umetolewa na bendi maarufu ya Ngoma Africa aka FFU,yenye makao yake Ujerumani.

Bendi ya Ngoma Africa inawaombea mafanikio na ushindi wanamichezo wa Tanzania,Tuwaomba watanzana na marafiki wa Tanzania pamoja taha sisi mbali mbali zilizopo Uingereza na ughaibuni kujitokeza kwa wingi na kuzipeperusha bendera za Tanzania kwa kuwashingilia wanamichezo wetu,kwa shangwe,shangwe na mayoe ! Tanzania ! Tanzania! Tanzania! oyeeeeeeeeeee!

Mungu wabariki wanamichezo wetu! 


Mungu Ibaraiki Tanzania !

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2012

    Kamanda mkuu ras makunja mie nipo UK aka Ukerewe naupokea wito wenu nishanunua bendera ya TZ na nitapeperusha viwanjani

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 18, 2012

    ffu tunaitikia wito wenu,je na nyie mtakuwepo pale?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...