Bondia Japhet Kaseba akipima uzito.
Francis Cheka nae akipima uzito wake.
Mabondia hao wakitunishiana misuli.
Cheka akipimwa mapigo yake ya moyo.
...Kaseba nae akipimwa.
...Wakiwa tayari kwa mpambano wa kesho.
---
Mabondia Francis Cheka na Japhet Kaseba leo wamepima uzito wao tayari kwa mpambano wa kesho katika Tamasha la Matumaini litakalofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabondia hao wamepima uzito wao katika hoteli ya The Atrium iliyopo Sinza, Afrika Sana jijini Dar es Salaam ambapo kila mmoja amemtambia mwenzake kuwa ataibuka kidedea katika pambano hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 06, 2012

    Jackline Wolper V/S Wema Sepetu:

    Mbona na wao hawajapimwa uzito?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 07, 2012

    Mdau wa juu kwa kukujibu swali lako Wolper Vs wema wanauzito ambao ni

    wolper 90kg
    wema 55kg
    Ratio 1.636:1=Wolper:Wema

    naona walioandaa huo mpambano awakuzingatia viwango vya kimataifa manake Gap ratio yao ni kubwa mno.
    nawatakia mpambano mwema.
    by Mchambuzi wa mambo

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 07, 2012

    Mbese all the best kesho. Tuwakilishe vizuri!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 07, 2012

    Hii mizani ya bafuni siyo accurate sana. Haifai kupima uzito mabondia.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 07, 2012

    kaseba utachapwajee?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...