Baadhi ya washiriki wa Miss Utalii Kagera  wakipata  chakula cha asili mjini Bukoba kabla mpambano wao leo usiku. Yupo pia  Marrison Kapiga wa Clouds Fm na yupo msanii wa nyimbo za injili Jane MISSO na mkurugenzi wa Cosad Smart Baitani
Shindano hili litafanyika hii leo Jumamosi 14-7-2012 katika ukumbi wa linaz night Club. na kusindikizwa na Diamond music Band. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2012

    kama NBA ilivyolegeza masharti ya urefu, naona mchezo huu nao umelegeza masharti yake mengi mno kana kwamba mamiss wetu hawawezi kushindana kimataifa na mamiss wa america, ulaya, na asia na wakashinda siku hizi.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 14, 2012

    HIVI KWA NINI WAHAYA WAKILA LAZIMA WAPINDE KIDOGO WADAU NISAIDIENI.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 14, 2012

    Labda Mashindano mengine, Miss Utalii Tanzania, kila mwaka tunashinda mataji ya Dunia, hadi sasa tunashikilia mataji matano

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 14, 2012

    Yani nimetamani sana chakula cha BK baada ya kuwaona hawa mamiss wakila. This is what we call tradition. Muhaya umwambii kitu kuhusu huo msosi aisee

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 14, 2012

    Anony 11:47:00 AM.. Sie Wahaya (hasa wanawake) tukila ni lazima tupinde kidogo sababu ya ukubwa wa vijungu tulivyojaaliwa. Ila si lazima kupinda.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 14, 2012

    Sasa majani ya migomba si yanaweza kuwa na bacteria au vijidudu vingine? Do you sterilize them before use? If yes, how?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 14, 2012

    eti bacteria, wewe lazima utakuwa uko UK-mshamba mkubwa wee . Zebedayo

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 14, 2012

    Hapa sufuria la biriani la yanga lilishambuliwa kuwa lina germs na limetoka kwenye moto. Niliandika hapa michuzi akaiminya basi na hii minya. Ila majani ni safi sana hata akinyea ndege twende kazi. Kila mtu ana utamaduni wake, na mbege huliwa katika gilasi????

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 14, 2012

    vi majani vinakuwa sterilized kwa kuvipitisha kwenye moto.Hiyo misosi ni very healthy kulinganisha na misosi ya kisasa.frozen,industrial processed nk

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 14, 2012

    Zebedayo acha kuharisha mdomoni,eti lazima utakuwa uko KU..., do not generalise things, kama una wivu chukua kamba.....

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 14, 2012

    Mwakola muno...mara Munonga&!!

    David V!

    ReplyDelete
  12. Nimetamani hizo viazi Uchagani tunaita "Nduu". Uswahilini "Viazi Mshenzi" kwani vinatoa matunda juu na chini kwenye mizizi. Nadhani wangeviita "viazi shujaa" badala ya mshenzi!! Msosi poa

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 14, 2012

    Miss zote huanza kipindi cha ramadhani

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 14, 2012

    Du hapo speed mia moja. Kama unona ona iabu hapo unatoka mtupu! yaani ni mikono tu. Ni utamaduni lakini ningependa sana kuona vitanda vya hawa jamaa. Nilimbiwa Wahaya wanalalia majani kama ng'ombe wa wachagga sijui wake though. Hawa jamaa kwa mila na desturi si mchezo! teheee Chadeee???!!!!!

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 15, 2012

    Hygiene hapo hamna. Mnachangia kula kwa vidole kwenye sahani moja. Wahaya mbona mnaaabisha? Mnavyopenda masifa mtatetea hata hilo.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 16, 2012

    ushawahi kusikia wahaya kule bk kagera wameugua kipindupindu? mbona hamtaki kuelewa ninyi wabishi, kule kila kitu lazima kiliwe kikiwa kinatokea jikoni vyamoto hata mbabi lazima zinanaokwa kwanza kwenye moto. kule ni wasafi sana kwa mambo ya misosi jikoni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...