Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk Parseko Kone akitoa heshima za mwisho wakati akiuaga mwili wa mjukuu wake marehemu,Joshua Kone aliyefariki mkoani Singida na kuzikwa juzi katika eneo la Bomani wilayani Monduli mkoani Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe Parseko Kone aliyesimama wa kwanza kulia akiuaga mwili wa mjukuu wake, marehemu Joshua Kone aliyefariki mkoani Singida n kuazikwa juzi katika eneo la Bomani wilayani Monduli mkoani Arusha. Kulia kwake  ni mtoto wake aliyefiwa,Timan Kone. Picha na Moses Mashalla

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...