Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2012

    michuzi michuzi bro tuweke basi number mmoja ya hii kitu na bab kubwa, khamsin uko juu mwanangu nakupa tick ya kwenda mbele. mambo kama haya ndo tunataka kuyajua siyo kila leo wasomi wasomi utafikir wao ndo mungu.

    khamsin ninaswali nini maana ya kupiga ulimi, na machokoni najua wangu hii ndo lugha ya kitemi temi enzi hizo lakin nifafanuliye please.

    na umesema kweli tupu na umenikumbusha mbali ile mbaya kuhusu uncle yangu mmoja alikuwa baharia yeye alikwenda ubahariyani toka ana miaka 15 au 16 hivi yanki yanki hivi sasa marehemu na amezunguruka nchi kibao na lugha kama 10 anazijua na nikweli tupu MTANZANIA ukimuweka popote mwanangu anafiti

    na watu walikuwa hawana roho za korosho kama walivyo sasa ndo maana neema tumeondokewa nayo.

    big up mwanangu khamsin
    inshallah Allah azikdi kukubarik zaidi na zaid amin

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2012

    Sasa kaka peninda ile kuitana mchumba mchumba na mwenzio Ramadhani mbona unanipa mstuko kidogo na kolokotroni mapua baada ya kupigwa sana na jua bongo akachukua tripu ya uzeeni aminia jahazi limemmwaga france ebwana umetuwakilisha wasafiri wa zamani

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2012

    Bro 50,
    I'm ur little nephew wa Arkansas.
    Umesahau kuwapa ile story ya wewe kuwa mbongo wa kwanza mwenye water bed pale mikocheni na nyumba yenye tv room kwenye attic.
    Unajua Bro kila tunapokutana H-town tukiongelea bongo na maisha kiujumla huwa nasema bongo mtu akienda kazini anachofikiria ni kumwibia mwajiri wake,aidha muda, rasilimali, hongo nk. Waambie hao bongo wabadilike ili wapate maendeleo ya kweli. Bongo hakuna work ethics, watu waongo na wafitini. Bora tuwauzie nguvu hukuhuku tukirudi nyumbani ni retirement time aidha summer uko bongo spring uko huku kama ulivyofanya ukajichukulia sehemu yako H-town.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 02, 2012

    Hongera sana kaka Khamsin,
    Ni kweli hata mimi mdogo wako najua machache uliyoyapitia ila kwa kweli interview hii imeniwezesha kufahamu zaidi. Nakutakia kila la kheri Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi na akufungulie milango ya kheri. Amin

    Farid

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 02, 2012

    kaka Khamsin interview nzuri,
    imeniwezesha hata mimi mdogo wako kufahamu mengi na kujifunza, ni kweli hata mimi ni shuhuda wa mengine nilikuwa na enjoy kwenda kula Nsansa na Nswalu kwa ugali Mikocheni lakini ndio hivyo tena.
    Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kukubarik, akufungulie milango ya kheri akufanyie wepesi katika shughuli zako. Amin

    Farid

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 02, 2012

    Story ya Khamsin Idd ni nzuri .
    Wapo watanzania wengi tu nje ya nchi wana ujuzi na story.
    Tuwekeeni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...