Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2012

    haya sasa USA kumekuacha na ufunguaji wa vyama vya siasa, UK sasa kumekua kimya mum Maajar kaondoka na vyama vyake, jasho litawatoka!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 18, 2012

    Mtanzania amka, hii sio mtazamo wa mtu mmoja bali inaonyesha jinsi gani Diaspora inavyojikita katika kutambua mchango wao kwa Taifa letu. Hongereni wakereketwa Washington DC natkutakieni kila la kheri na mafanikio ya kikao chenu.Chama kilicho bora ni kile chenye sera za maendeleo kwa jamii ya muda mrefu na sio tu sera za msimu kujitafutia umaarufu. Hongera Chama Cha Mapinduzi kwa kutupatia ukombozi wa Mtanzania na Umoja kwa Taifa zima.
    Ujumbe toka UK, Northampton

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...