Watangazaji wa Clouds Fm Adam Mchomvu na Loveness Love a.k.a Diva Mimi wakirusha matangazo 'Live' ndani ya jiji la Tanga. Fiesta ndiyo hiyo imeanza kubamba na itafanyika tarehe 26.8.2012 uwanja wa Mkwakwani kwa kiingilio cha Buku tano tu.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...