Mdau alipata fursa ya kukutana na Dkt Asha Rose Migiro
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliyemaliza muda wake Dkt Asha Rose Migiro akiwa kwenye picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda pamoja na wanachama wa chama cha wabunge wanawake wa Tanzania. Dkt Migiro yupo mjini Dodoma kwa mwaliko wa Spika wa Bunge. Ametumia fursa hiyo kukutana na wabunge wanawake na kuwaasa kufanya kazi kwa bidii ili kuharakisha maendeleo ya Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. hivyo kazi ya asha migiro ilikuwa nini huko united nation kwani sijawahi kumsikia katika vyombo vya habari hapa united kingdom

    ReplyDelete
  2. Hii taarifa haikuzingatia Itifaki, kwa mtu ambaye hamfahamu Mhe. Spika anaweza kufikiri Huyo Bw. Hapo ndiye Spika wakati siye. Picha ya kiongozi haiwezi kutanguliwa na mtu mwingine.

    ReplyDelete
  3. Anajiweka tayari kutangaza kugombea UWT nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...