Wananchi mbalimbali pamoja na wanahabari wakishiriki katika sala ya kumuombea aliyekuwa Msaidizi Fundi Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Marehemu Mbarouk Yussuf aliefariki leo na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.
Wananchi mbalimbali pamoja na wanahabari wakibeba Jeneza la aliekuwa Msaidizi Fundi Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Marehemu Mbarouk Yussuf aliefariki leo na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.
Wananchi mbalimbali pamoja na wanahabari wakiwa katika Mazishi ya aliyekuwa Msaidizi Fundi Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Marehemu Mbarouk Yussuf aliefariki leo na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mungu akupe safari ya salama na awajaze imani familia yake. Hakika kila nafsi itaonja mauti Allah Akbar

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...