Rais wa IBF Africa,Onesmo Ngowi (katikati) akiwa ameshikilia mkanda wa ubingwa wa IBF Africa utakaogombaniwa na Mabondia Ramadhani Shauri (wa pili kushoto) na Sande Kizito wa Uganda.kushoto ni Katibu wa TPBC,Nemes Kavishe na Rais wa TPBO,Yasin Abdallah.

 
Bondia Sande Kizito wa Uganda akipima Uzito leo kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa IBF Africa Utakaofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee siku ya kesho.kushoto ni Mpinzani wake Ramadhani Shauri.
 
Rais wa TPBO,Yasin Abdallah (kulia) akipeana mkono wa iddi na Mtangazaji wa Radio Times,Bw. Kondo walipokutana siku ya leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kaka,

    Huo sio uzalilishaji wa kijinsia kweli jamani?
    Mtawapigaje picha wakiwa na BOKSA tu jamani?

    Sio vizuri namna hiyo

    ReplyDelete
  2. Heri wewe ulioona!

    Sesophy

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...