Shaaban Robert's burial place at Machui, near his birthplace Vibambani. Standing by the grave Mzee Kituru Musa (left) and Jafari Mhunzi (right) of Vibambani village who directed the Urithi team to the grave at Machui and assisted in clearing the overgrown grass and bushes that had covered the grave.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Achana na kaburi. Yale mema aliyotuachia ndiyo yana maana zaidi.Kwanza nasikia hilo si kaburi lake.

    ReplyDelete
  2. Hutu alikuwa nguli wa kiswahili..ila nchi yetu hatuna utamaduni wa kuwaenzi watu wengine mbali na wanasiasa. Hivi kaburi la watu Kama Kinjikitile Ngwale, Mwanamalundi yanaweza kuonekana? iLife Jamie ijifunze hawa watu walikuwa na umaarufu gani mwenyekiti historia ya nchi yetu.

    ReplyDelete
  3. Kwetu bado watajika, kusahau hatuwezi,
    Watunzi wa kila rika, zipitia zako kazi,
    MOLA pema kukuweka, pepo yake ubarizi,
    Ungali unasifika, kwa kaziyo ya utunzi.

    Tungo ulizoziacha, katu choka kuzienzi,
    Ziimba kila kukicha, za furaha na majonzi,
    Muhali kuja ziacha, vyarithi vyote vizazi,
    Pengo kubwa umeacha, kwenye fani ya watunzi.

    MOLA AKULAZE PEMA PEPONI - SHAABAN BIN ROBERT.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...