WAPENZI wa burudani waliobahatika kuingia Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live huko Mbagala jana Jumapili walinogeshwa na vionjo vipya vya bendi za Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Bendi ya Manchester na magwiji wa mipasho, ToT Taarab.
Burudani uwanjani hapo zilianza mapema kwa michezo mbalimbali ya watoto inayojumuisha vifaa mbalimbali ambavyo huvitumiwa bila malipo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...