Aliyekuwa katibu wa chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Morogoro Asha Kipangula (pichani) amefariki dunia jana mkoani Morogoro. Mazishi yanatarajia kufanyika kesho mjini Iringa. 
Marehemu Kipangula ni mwenyeji wa Mlandege katika Manispaa ya Iringa na mwili wake unatarajiwa kuwasili leo mjini Iringa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. InnaLlaha- WainaIllaihi rajiuna.
    Mungu ampe dada yetu mahali pema.
    Sisi Watanzania wa Northampton tunapenda kutoka rambimbi zetu kwa ndugu na jamaa wote walio fikwa na msiba huu. Mungu awape subra katika kipindi hiki kigumu

    ReplyDelete
  2. Wana CCM UK wanaungana na watanzania wote kutoa salaam za rambi rambi kwa wana familia, CCM Makao Makuu, wanaCCM Morogoro kwa msiba huu mzito wa Kamanda Mama Asha Kipangula.

    Mwenyezi Mungu amempenda zaidi na tunaiombea familia amani wakati huu wa majonzi.

    Maina Owino
    kny. CCM UK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...