Home
Unlabelled
Maalim Gurumo arejea ulingoni na kasi ya ajabu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndiyo Baba ya Muziki,Msondo Ngoma Music band,ni bendi pekee kongwe barani Africa,Msondo ilianza 1964 (Nuta Jazz).
ReplyDeleteWadau
FFU Ughaibuni
Ndiyo Baba ya Muziki,Msondo Ngoma Music band,ni bendi pekee kongwe barani Africa,Msondo ilianza 1964 (Nuta Jazz).
ReplyDeleteWadau
FFU Ughaibuni
Huyu mzee pamoja na umri wake lakini sauti yake ni ile ile ya mwaka 1974. Kwa kweli nafurahia sauti yake kwenye nyimbo alizoimba tangu Sikinde na sasa Msondo. Mungu akupe afya njema uendelee kutupa burudani!!
ReplyDeleteyes imeanza mwaka 1964,angalia vyombo chakavu ile mbaya,bado wana mic za kamba ,stendi zimejaa kutu.Nyie FFU mmeanza juzi juzi tu,vifaa vyenu vya kileo. Je ? kuna sababu . Au labda kazi ilikuwa baada ya muziki wanaishia guest kuosha jando,matokeo ndo hayo from 1964.
ReplyDeletePole sana Mkuu, nakukumbuka kwa nyimbo nyingi sana ulizoimba na Sikinde pamoja na Msondo kama vile;Selina,Kasimu,Ford,Mjomba,Usimchezee Chatu,Nitakaza roho,ukitaka kufurahi kila j'mosi...... nk
ReplyDeleteHili NUNDA la 04.55 limetoka wapi? mbona linaandika utumbo badala ya kuwapa dole? 2@$%^&* mkubwa
ReplyDeletemaalim tafuta msala umalizie umri wako kwa kumcha Mola wako.ulipopata panatosha
ReplyDeleteMADAU WA 7 HAPO JUU Anonymous wa Mon Sep 10, 10:55:00 PM 2012
ReplyDeleteNaungana na wewe kwa kauli yako ya kuwa sasa ni wakati wake kugeuza ukurasa kwa alichokipata na aongezee kwa kutafuta msala na tasubihi ili kupata faida zaidi!
Inshallah!