Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mh. Shy-Rose Bhanji amefanikiwa kuwa mmoja wa wagombea 10 waliopitishwa kati ya 31 na Kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM-NEC kugombea Ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM NEC Tanzania bara. Katika kinyang'anyiro hicho Mh. Shy-Rose Bhanji anapambana na baadhi ya mawaziri na viongozi wa juu wa chama hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Shy-Rose is a handsome woman, FACT.

    ReplyDelete
  2. MDAU WA MWANZO UMEKUSUDIA NINI KUSEMA HANDSOME WOMAN WAKATI HILO NENO HANDSOME LINATUMIKA KWA SIFA YA KIUME NA SHY ROSE YEYE NI MWANAMKE UMETUCHA KWENYE MATAA HABU TUJULISHE MDAU MWENZETU HAPO JUU NA KWA NINI ASIWE HANSOME WOMAN WAKATI YEYE NI CHOTARA CHOTARA WA KUCHANGANYA CHANGANYA HA HA AHA

    ReplyDelete
  3. Nadhani mdau wa kwanza, Handsome woman alikuwa anamaanisha beautiful woman hasa ukizingatia kiingereza chetu cha kuungaunga kama TO PLANT MOUNT KILIMANJARO IS NOT PRESIDENT JOB

    ReplyDelete
  4. I agree with mdau wa tatu.

    Jamaa itakuwa amekanganya mambo hapa.

    ; )

    ReplyDelete
  5. Mdau wa kwanza(Mimi) sijakosea kabisa kutumia handsome woman, though rarely used, but it is a perfect matured use of this adjective.
    Mdau wa pili, hongera kwani machale yalikucheza.
    Mdau wa tatu na wanne,kama hujui matumizi ya maneno uliza.
    I specificaly wrote that in order to tease out some reactions from uninformed chaps.
    HANDSOME WOMAN;
    1:"A woman with kind of refined beauty and attractiveness that requires poise,dignity and strength of mind and character,things that often come with age; not merely sex appeal".
    2: A very attractive Woman.
    This phrase is old, but still used admittedly rarely.
    Mwisho wa somo.

    ReplyDelete
  6. Nadhani Mdau amemtaja SHY-ROSE kuwa HANDSOME kwa ile mentality kuwa huyu dada yupo kamili kama DUME kwa vile anavyoendesha mambo yake.

    Ni jambo gumu sana kwa mtu wa kawaida kutafuta kitu akawa anachelewa kukipata na akazidisha jitihada hadi akafanikiwa kama alivyofanya Shyrose Bhanji katika mchakato wake kuelekea kuupata Ubunge!

    ReplyDelete
  7. HANDSOME Shyrose Bhanji,

    Ni dada jasiri sana kwa kweli!

    Huyu dada ni DUME kwa msuli wake ktk kustahimili heka heka za kuwania Uongozi , sio mchezo!

    Ndio maana Mdau amemwita Handsome, kwa kuwa kwa wengi wetu tukiwemo wanaume wenyewe tusingeweza kama alivyo fanya yeye kustahimili kushindwa ktk kugombea na kurudia tena kwa kugombea mara zaidi na zaidi hadi kushinda!

    Wengi wetu tungeshakata tamaa na kaunza kujiuzia Vocha za Simu ama kufungua Duka la maji ya chupa ya Uhai ya jumla baada ya kugombea Uongozi kwa mara ya kwanza na kushindwa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...