Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope (kushoto)
akimkabidhi mchango wa dola 1,000 Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni
cha Channel Ten, Said Kilumbanga kwa ajili ya kusaidia matibabu ya
mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa Stars, Alfonce Modest. Modest
aliwahi kuzichezea timu za Simba, Mtibwa Sugar, Pamba, pamoja na
Mlandege ya Zanzibar.
Home
Unlabelled
WADAU WA MICHEZO WAZIDI KUMSAIDIA ALFONCE MODEST
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...