Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda (kushoto) akimkaribisha Balozi wa mpya wa India nchini Tanzania Mhe Debnath Shaw. Balozi huyo alifika nyumbani kwa Mhe. Spika mapema jana asubuhi kwa lengo la kujitambulisha kwake na kumfikishia salamu za ushirikiano kutoka kwa Spika wa Bunge la India, Mama Meira Kumar.
Viongozi hao wakiwa na mazungumzo ya kina ambayo yalilenga kupanua wigo wa mahusiano baina ya Tanzania na India katika Nyanja za Afya (matibabu) na Elimu ya Ufundi.Prosper Minja-Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...