Marehemu VICTORIA WILBERT (MRS IMMANUEL KILATU)
Familia ya Ndugu Japhet Mbwana & Lydia Nkwambi iliyopo Lumala – Mwanza  inapenda kutoa Shukrani zao za dhati kwa Ndugu,Jamaa,Marafiki na wale wote walioshiriki nao katika kipindi chote cha majonzi ya kuondokewa na binti yao mpendwa  VICTORIA WILBERT (MRS IMMANUEL KILATU)aliye fariki gafla tarehe 02/09/2012 huko Dodoma na baadaye kwenye ibada ya mazishi iliyofanyika nyumbani kwao Lumala – Mwanza kwa vile siyo rahisi kumshukuru kila mmoja,Tunapenda mpokee Shukrani zetu kwa moyo Mkunjufu – Leo Vicky Anapo timiza mwezi mmoja Nyumbani kwa Baba yetu wa Mbinguni hatuna cha kuwalipa ila AWABARIKI NA KUWAZIDISHIA MOYO WA USHIRIKIANO NA UPENDO.

“RAHA YA MILELE UMPE Eee BWANA”

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...