Kwa mara ya kwanza East African Artists Mr. Bushoke live in Oslo Norway Friday-12-oct-2012
akiwa ameongozana na wasanii 2 wakali mno toka Uganda Kenzo & Vampino
Onyesho hili litafanyika ndani ya ukumbi wa Club Millenium Skippers gata 9 Gamle Banken Oslo Norway
Wahi ticket booking 170 nok, na mlangoni ni 200 nok, show itafunguliwa kuanzia saa mbili usiku mpaka
majogoo. Dj Pred & Dj Humphrey watarusha mahabiki wao vikali ndani ya nyumba na Bongo Flavaz.
Dj Pred a.k.a Abdul Mpily or Dj Humphrey...


.jpg)

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...