Mshiriki namba 4,kutoka Manyara - Kanda ya Kaskazini,Lucy Stephano ndie alieweza kuibuka kinara wa Kinyang'anyiro cha Redd's Miss Photo Genic 2012.
Warembo
walioingi kwenye hatua ya tano Bora ya Redd's Miss Photo Genic.toka
kulia ni Magdalena Roy (Mshiriki namba 6,kutoka Dar City Center - Kanda
ya Ilala),Babylove Kalala (Mshiriki namba 9,kutoka Kagera - Kanda ya
Ziwa),Lightness Michael (Mshiriki namba 5,kutoka Dodoma - Kanda ya
Kati),Lucy Stephano (Mshiriki namba 4,kutoka Manyara - Kanda ya
Kaskazini) na Diana Hussein (Mshiriki namba 20,kutoka Dar Indian Ocean -
Kanda ya Kinondoni.).
Mkurugenzi wa Kampuni ya Rino Agency na Muandaani Mkuu wa Mashindano ya Miss Tanzanzia,Hashim Lundega akitangaza Mshindi wa Redd's Miss Photo Genic ambaye ni Mshiriki kutoka Manyara - Kanda ya Kaskazini,Lucy Stephano (katikati).hafla ya shindano hilo ilifanyika jana usiku kwenye Ukumbi wa hoteli ya E'Manyata Lodge,Monduli jijini Arusha.
kwa habari kamili





yakiisha mashindano mdogo wangu mtembelee dentist atoe hilo jino lililozidi
ReplyDelete