Mdau wa Globu ya Jamii,Diana Byonge (kulia) akiwa katika pozz na rafiki yake mara baada ya kukabidhiwa nondozz zao katika maswala ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam hivi karibuni.
Mdau Diana Byonge (pili kulia) akiwa na Wahitimu Wenzake.
Mdau wa Diana Byonge akiwa katika pozi na tabasamu la hali ya juu baada ya kupata NONDOZZ yake ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mdau Diana Byonge akiwa na kaka yake mpendwa Girman Byonge wakati wa hafla fupi ya kumpongeza bada ya kulamba NONDOZZ yake ya Ecomics katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Sasa hivi msimu wa kuvaa majoho!.kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu.Ni vurugu tupu.Hongereni wote mliohitimu

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...