Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Arusha,Flora Lazari Zelothe (katikati) alieshinda nafasi hiyo hivi karibuni baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa Umoja huo.Kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama Regina Lowassa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Songa Mbele Mh.Lowassa. Songa Mbele Tanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...