Familia ya bwana na bibi peter Kibuda shija wa kimara suka Dar es Salaam wanapenda kutoa shukrani kwa wote walioshiriki ktk msiba wa mtoto wao mpendwa Charles Peter Shija kilichotokea tarehe 30/05/2012 na kuzikwa katika makaburi ya kinondoni tarehe 02/06/2012. 

 Shughuli za kumaliza msiba huo zitafanyika nyumbani kwao kimara suka kwa mkesha siku ya ijumaa tarehe 12/10/2012 Kuanzia saa 12 jioni na ibada ya misa takatifu itafanyika tarehe 13/10/2012 saa 1 asubuhi nyumbani na kisha kuelekea makaburini kinondoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Julius KatangaOctober 10, 2012

    As you comprehend this profound loss, let grateful memories linger on in time of sorrow. My condolences to you and your wife.

    ReplyDelete
  2. Mungu azidi kuwatia nguvu kwenye kipindi hiki cha majonzi makubwa.
    R.I.P cousin.From, H.R.Liganga

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...