Meneja Ufundi wa kampuni ya Mawasiliano ya VodacomTanzania Simon Martin akimwelekeza mmoja wa wafanyakazi wa Shirika la umeme Tanesco jinsi ya kujaza fomu za maoni kuhusu huduma za kampuni hiyo wakati wa kliniki iliyofanyika makao makuu ya shirika hilo Ubungo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wafanyakazi wa VodacomTanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kushiriki katika kliniki ya utoaji maoni kuhusu huduma za kampuni yao kwa wafanyakazi wa Shirika la umeme Tanesco iliyofanyika makao makuu ya shirika hilo Ubungo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...