Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza akizungumza na Wahariri Watendajio wa
vyombo vya habari nchini (hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam ikiwa ni
sehemu ya utaratibu aliojiwekea wa kukutana nao kupitua Jukwaa la Wahahriri kubadilishana
uzoefu juu ya shughuli za Vodacom hapa nchini.
Mwenyekiti
wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Absalom Kibanda akiongea katika mkutano wa pamoja
kati ya Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni
ya Vodacom Tanzania Rene Meza na wahariri Watendaji wa Vyombo vya Habari nchini
uliofanyika leo jijini Dar es salaam. Kupitia Mkutano huo Rene (kushoto) aliwaelezea
wahariri hao uwekezaji wa Vodacom katika huduma za mawasiliano na maendeleo ya
jamii kwa mwaka wa fedha 2012/2013.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...