Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Bw.Vuai Mwinyi Mohamed,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja,Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitia saini hati ya kiapo baada ya kumuapisha Bw.Vuai Mwinyi Mohamed,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja,hafla imefanyika leo,Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi hati ya kiapo Bw.Vuai Mwinyi Mohamed,baada ya kumuapisha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja,katika hafla imeyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar, Bw,Vuai Mwinyi Mohamed, akipitika hati ya kiapo kabla ya kuapishwa rasmi na kuanza kazi aliyopewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika hafla imeyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Pandu Ameir Kificho,(kushoto) Mshauri wa Rais Kilimo,Buruhani Saadat Haji,(kati) na Naibu Katibu Mkuu Ushirikiano wa Kimataifa na Uratibu wa Wazanzibar wanaoishi Nje ya Nchi,Saidi Natepe,wakiwa katika hafla ya kuapishwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
Jaji Mkuu wa Zanzibar,Bw. Omar Othman Makungu,(kulia) na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji,wakiwa ni miongoni mwa Viongozi waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja Bw,Vuai Mwinyi Mohamed,leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.Picha na Ramadhan Othman Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...