Mkuu wa Chuo cha Usafirishaji(NIT), Mhandisi, Dkt. Zacharia Mganilwa(aliyevaa suti ya Kaki), akimuonyesha Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe(Kulia kwa Mkuu wa Chuo), eneo ambalo Chuo kimelitenga kwa ajili ya wenye Magari watakaomua kupaki magari yao na kwenda kutumia Usafiri wa Treni inayotoka Ubungo kuelekea Stesheni jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Chuo cha Usafirishaji(NIT), Mhandisi.Dkt. Zacharia Mganilwa(aliyevaa suti ya Kaki), akimueleza Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe(Kulia kwa Mkuu wa Chuo), namna ambavyo Maktaba ya Chuo hicho inavyofanya kazi, chuoni hapo. Dk Mwamkyembe alipita katika maeneo mbalimbali kabla ya kuhudhuria mahafali ya 28 ya Chuoni hapo.
 Baadhi ya Wageni walioalikwa katika mahafali ya 28 ya Chuo cha Usafirishaji(NIT), wakimsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe leo mchana katika Viwanja vya Chuo hicho.
 Waziri wa Uchukuzi,Dk. Harrison Mwakyembe akihutubia wahitimu pamoja na Wageni waalikwa katika mahafali ya 28 ya Chuo cha Usafirishaji(NIT), Mahafali hayo yamefanyika katika Viwanja vya Chuo hicho, ambapo wahitimu wa Kozi mbalimbali wametunukiwa Stashahada za Kawada, Stashahada za Juu na Shahada.

Waziri wa Uchukuzi.Dk. Harrison Mwakyembe(Aliyevaa kofia Nyekundu),akiwa katika picha ya pamoja na Wahitimu wa kozi mbalimbali kutoka  katika Chuo Cha Usafirirshaji(NIT),jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...